AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwaisumbe ambaye alishika wadhifa huo kwa kipindi cha miaka sita hadi alipoachia wadhifa huo Januari mwaka huu.
Akizungumza na wanahabari mjini hapa leo Jumatano Mwaisumbe ametaja sababu za kujiunga na CCM kuwa ni kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais John Magufuli za kufufua uchumi wa nchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hakielewi.elimubduni kuelewa nini chadema inafanya.wenyevelimu ya juu kujua ndibwataelewa. Waachevwaende, baadaye wataamka.
ReplyDeletewalibebwa bila kujua ugumu wa mambo. Inabidi uwe mvumilivu kuwa chadema
Wapi mwenyekiti wa kudumu a.k.a wa maisha Mbowe......unatuambiaje kuhusu huyu? Na yeye pia hakuwa na faida yoyote kama Lau Macha?? Na bado, mpaka mtabaki mafisadi na wakwepa kodi watupu!! MTAISOMA-NAMBA
ReplyDeleteMafisadi wote wakuu walioipeleka tanzania hapa tulipo ni wanaCCM. Ujinga hauwezi kufundishika hata. Waliouza mali za uMMa ni CCM. Waliosaini mikataba mibovu wote ni viongozi wa juu wa CCM. Mbona hamwatumbui. Elimu ni kitu muhimu. Hata Nyerere alisema Ujinga ni adui wa kweli wa maendeleo. Mjinga hafundishiki. Na mjinga ni hatari. Anachokiamini ingawa si cha ukweli, huwezi kumbadili mawazo.
ReplyDelete