Baada ya Kauli ya Haji Manara TFF Yaitumia Timu ya Simba Barua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya Kauli ya Haji Manara TFF Yaitumia Timu ya Simba Barua
Shirikisho la Soka Tanzania Tff limetuma Barua kwa Klabu ya Simba Sc baada ya kauli ya Afisa Habari na mawasiliano wa Klabu hiyo Haji Manara ambazo kwa Mujibu wa Tff ni tuhuma dhidi ya Waamuzi.

Manara aliitisha Mkutano na Waandishi wa Habari siku ya Jana katika makkao makuu ya Klabu hiyo yaliyopo Msimbazi jijini Dar es salaam, Manara alizungumzia masuala mbalimbali ikiwemo suala la Mwamuzi aliyechezesha pambano kati ya Simba na Yanga siku ya Jumamosi ambapo kwa mujibu wa Manara alikuwa na Makosa mengi ikiwemo kuwanyima penati Simba.

Afisa habari wa Shirikisho la soka Tanzania Alfred Lucas Mapunda amezungumza na waandishi wa kueleza kuwa tayari shirikisho hilo limetuma barua kwa Simba kutaka kujua kusudio lao huku pia wakihitaji Maelezo ya kina kutoka kwa Haji Manara nini lengo lake kutoa kauli hizo ambazo TFF inaona ni uchochezi na uvunjifu wa sheria.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bila ya shaka lengo la Manara ni kutaka haki itendeke kutokana na ushahidi wa video alionao.

    ReplyDelete

Top Post Ad