Baba Kanumba Amelalamika Kuwa Mahakama imempa Lulu Hukumu Ndogo Kama Kaua Kuku

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Kwa upande wangu hukumu hii kwa nini imekuwa ndogo sana? Na haijanifurahisha sana hata kama mtu aliua kwa kutokukusudia lakini mahakama imetoa kifungo cha miaka miwili, kama mtu kaua kuku. Nilitegemea mahakama ingetoa kifungo kuanzia miaka mitano, sita au saba na kuendelea." Amesema Baba Kanumba akizungumza na GPL ambapo pia siku za nyuma yeye na Mama Kanumba waliripotiwa kuingia katika mkwaruzano sababu ya mali alizoacha Kanumba
.
Anyway, nini maoni yako, unadhani Lulu akimaliza adhabu alopewa na mahakama wazazi wa Kanumba hawatakuwa na tatizo nae tena sababu mama Kanumba tayari ameipongeza na kuishukuru mahakama kwa adhabu iliyompa Lulu ?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad