Kadinda Afunguka Kuhusu Lipstick za Wema Kufungiwa "Hatuna Taarifa Za Kufungiwa kwa Sababu Vibali Vyote Vipo"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kadinda Afunguka Kuhusu Lipstick za Wema Kufungiwa "Hatuna Taarifa Za Kufungiwa kwa Sababu Vibali Vyote Vipo"
Baada ya taarifa kuwepo kuwa bidhaa za lipstick ‘Kiss’ za Wema Sepetu kupingwa maarufu na Mamlaka ya Chakula na Dawa Nchini (TFDA), mtu wa karibu na mrembo huyo Martin Kadinda amesema hawana taarifa hizo.
Martin Kadinda  ambaye aliwahi kuwa meneja wa Wema ameiambia TV E kuwa wao walikuwa na vibali vyote vya kuuza bidhaa hizo na kwa sasa hawana tena bidhaa zozote kwani wameshauza.
“Hatuna taarifa kwa sababu vibali vyote vipo na hizo zilishaenda sokoni na zilishaisha, kwa hiyo sisi kama sisi hatuna tayari zipo sokoni” amesema.
“Kama ni mtu aliamka na kuamua kuandika all the best kwake, sisi mziko ulishakwisha alitengeneza product za kwanza now anakuja na product nyingine” amesisitiza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad