AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa inaeleza zaidi kwamba fedha hizo zilikua ni sehemu ya fedha za Akaunti ya Tegeta ESCROW ambapo kigogo huyo ameachiwa na hakimu Mkazi Mwandamizi Victoria Nongwa baada ya Mwendesha Mashtaka Mwandamizi wa TAKUKURU, Leonard Swai kuomba kesi hiyo iondolewe Mahakamani chini ya kifungu cha 98 (a) cha sheria ya Makosa ya Jinai (CPA).
Baada ya kueleza hayo, Hakimu Nongwa alisema Mshtakiwa huyo amefutiwa kesi na kwa sasa yupo huru ambapo kama utakumbuka, Rugonzibwa alifikishwa Mahakamani kwa Mara ya kwanza January 14, 2015 na Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (TAKUKURU).
Inadaiwa alipokea rushwa hiyo ya milioni 323 kutoka kwa Rugemalira ambae alikuwa ni mshauri huru wa kitaalamu, Mkurugenzi wa VIP na mkurugenzi wa zamani wa Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL kama tuzo kwa kushughulikia mambo ya ufilisi wa muda wa kampuni hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK