AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Uamuzi huo umetolewa leo Ijumaa Novemba 10 ,2017 na Hakimu Devotha Kisoka wa Mahakama hiyo baada ya kusikiliza hoja za pande hizo mbili husika.
Diamond aliwasilisha pingamizi dhidi ya kesi hiyo iliyofunguliwa na Mobeto akidai kuwa kesi hiyo imefunguliwa kwa kutumia kifungu ambacho si sahihi. Hoja ambayo ilipingwa na Mobeto.
Mobeto alifungua kesi hiyo mahakamani hapo, pamoja na mambo mengine anaiomba matunzo ya mtoto waliozaa na msanii Diamond.
Mobeto anaiomba mahakama imwamuru Diamond kutoa matunzo ya mtoto ya kila mwezi na alifungua kesi hiyo kupitia mawakili wake Abdullah Lyana na Walter Godluck kutoka kampuni ya uwakili ya Century Attorneys.
Kupitia hati hiyo ya madai, Mobeto anaomba Diamond amuombe msamaha kwa kumsababishia madhara yaliyoishtua familia yake.
Diamond aliwasilisha hati ya majibu hayo kinzani akipinga maombi hayo ya Mobeto akidai gharama anazodai kulipwa kwa mwezi ya Sh 5 milioni kwa ajili ya matunzo ya mtoto ni kubwa hawezi kuzimudu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kwa taarifa yenu washapatana na hii kesi Domo kafanya kusudi ili wambea wasistuke na bi masumbuko asijue. ila mahaba ya Hamisa na Dai ni motooooo! tena yasiri kuliko mwanzo.
ReplyDeleteKama ni siri kuliko mwanzo sasa wewe ulijua vipi wakati ni siri?
DeleteDai na Hamisa wamerudiana kitambo, hayo yoote wameyapanga na mawakili wao. msifiri majuha kama Lednjaa na Halima mapengo.
ReplyDeleteAnonymous 21:21 inaonyesha ni mtu wa shari hapendi kuona watu wako na raha zao ogopa alie kuumba wacha rohi ya kutu daimond hajao bado so akijisikia kuwa na yeyote he will kama ni huyu bi majaaliwa bi masumbuko hapendi asepe
ReplyDelete