Majambazi Watano Waliohusika Katika Mauaji Kibiti na Mkuranga Wauwawa na Polisi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Majambazi Watano Waliohusika Katika Mauaji  Kibiti na Mkuranga Wauwawa

mkoani Pwani, wameuawa kwa kupigwa risasi na Jeshi la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga

Majambazi hao waliokuwa wakituhumiwa kwa mauaji ya Kibiti wameuawa walipokuwa wakitaka kufanya jaribio la kuwapora wafanyabiashara wa dhahabu mjini Shinyanga.
Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Shinyanga, Simon Haule amesema mauaji hayo yametokea baada ya jeshi hilo Kitengo cha Intelejensia kupata taarifa ya kuwa kuna majambazi ambao walikuwa wamejipanga kufanya uhalifu.
“Baada ya Polisi kupata taarifa hizo, askari walienda katika eneo hilo ambalo lilikuwa na vichaka pamoja na mapango ambayo yalisababishwa na uchimbaji holela wa mchanga”. Amesema Kamanda Haule
Kamanda Haule amefafanua zaidi kuwa  walipofika walianza kurushiana risasi kabla ya kuwazidi na kuwakamata majambazi hao wakiwa wamejeruhiwa vibaya,  na wakati wakipelekwa hospitali wote watano walipoteza maisha.
Ameongeza baada ya kuuawa na kupekuliwa, walikutwa na bunduki moja aina ya Short Machine Gun (SMG) yenye risasi 25 pamoja na mabomu mawili ya kurushwa kwa mkono.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad