Marufuku Kumuweka Mwanangu Kwenye Mitandao ya Kijamii- Masogange

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Marufuku Kumuweka Mwanangu Kwenye Mitandao ya Kijamii- Masogange
MREMBO aliyejipatia jina kubwa kutokana na kazi yake ya kuuza nyago kwenye video za wanamuziki Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amesema kuwa, kwa upande wake ni marufuku kumuweka mtoto wake kwenye mitandao ya kijamii.

Masogange aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, ni bora yeye akiwa anatukanwa na kuambiwa maneno machafu kuliko mwanaye kwa sababu kwenye mitandao watu hawaangalii kama ni mtoto, bali wao ni kutukana tu.

“Siwezi kumnadi mwanangu, ni jambo ambalo nimejiwekea, kama atapenda mambo ya mtandaoni, akija kuwa mkubwa, atajiachia mwenyewe,” alisema Masogange ambaye mtoto mwanaye huyo wa kike ana umri miaka nane sasa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad