Mastaa Walia na Utumwa Unaoendelea Nchini Libya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mastaa Walia na Utumwa Unaoendelea Nchini Libya
Wakati kukiwa na taarifa za kurejea kwa biashara ya utumwa nchini Libya, wasanii mbali mbali wakubwa duniani wameonyesha kuumizwa na biashara hiyo.

Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Chris Brown, T.I, Omotola, Peter wa kundi la P Square.

Kwa upande wa wasanii na watu maharufu wa kutoka bongo a,mbao wameonekana nkuguswa na utumwa unaosadikika kurudi uko libya ni pamoja  na Vanessa, Mdee Jay Dee, Aslay, Babu Tale, Eric Shigongo na wengine wengi ambapo wameambatanisha na maneno mbalimbaliu ambayo yanaonyesha kuguswa kwao ikiwemo kinachoendelea Libya si cha kufumbiwa macho.

 Hapa tumekuwekea kile walichokiandika kupitia kurasa wa zao za mtandao wa Instagram.





----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad