AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo bungeni wakati wa kujadili mipango ya maendeleo ya taifa, Mh. Mbilinyi amesema kwamba suala la kwamba wakikosoa kuhusu ujenzi wa uwanja wa ndege wa Chato ni kuchukulia kama suala binafsi bali ni suala la Mipango.
"Mipango bila utaratibu haiwezi kuwa mipango, Mh. Mwenyekiti. Namna ambavyo Airport ya Chato ilivyokuja haikuwa na mipango. Mipango kama hii inanikumbusha Rais Mobutu ambaye alijenga Ikulu kijijini kwao kipindi cha utawala wake na sasa hivi Ikulu hiyo imegeuka nyumba ya popo" Mbilinyi.
Mh. Mbilinyi ameongeza. Tukianza kuongea hivi kuna watuu wanawaka lakini mkumbuke hii siyo 'personal' bali nazungumzia 'Principal'. Mnashindwa kwenda Butiama kwa Baba wa Taifa mtaenda Chato?
Pamoja na hayo Mh. Mbilinyi ameitaka serikali itumie mbinu ya waliyoitumia kwenye kukuza biashara ya Korosho itumie mbu hizo pia kwenye kukuza bei ya mazao mengine nchini kama mbaazi, Tumbaku na mazao mengineyo.
Hata hivyo Mbilinyi amewaasa mawaziri kutoshindana kutoa matamko ambayo wanajua hayawezi kutekelezeka bali watumie nafasi zao katika kumshauri Rais ili kusonga mbele kutekeleza mipango.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK