AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nyalandu aliyejiondoa CCM wiki iliyopita leo Jumanne Novemba 7,2017 amemshukuru Lowassa kwa kuonyesha njia kwa wengine kuwa kuna maisha nje ya CCM.
“Mzee wangu nimekuja kujitambulisha na kusema asante kutufungulia mlango,” amesema Nyalandu katika taarifa iliyotolewa na ofisi ya Lowassa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nnavyo jua mimi Lowassa hana Ofisi wala Mshahara.
ReplyDeleteMwenyekiti akibangaiza huwa anampa Posho.
Au wakichapisha kadi za plastiki na zile za bunge wanazo chota eti vikao.
Hapo tutamuomba Spika Ndungai azitathmini hizo posho.
Mue naona wana kunya pesa bila stahiki nazo.
sasa sijui niwaite Hewa hawapia..??
nyalandu joto ya jiwe mbaya...!!!!