Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kwa Spika wa Bunge Kufuatia Kifo cha Mbunge wa Songea Mjini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kwa Spika wa Bunge Kufuatia Kifo cha Mbunge wa Songea Mjini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge la Jamhuri, Mhe Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Songea Mjini, Leonidas Tutubert Gama.

Mbunge wa Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Leonidas Gama amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Peramiho, Ruvuma.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad