Baada ya siku ya jana aliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Samwel Nyalandu kutangaza kukihama Chama Cha CCM kwa madai kimepoteza mwelekeo na kushindwa kuikosoa serikali, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemjibu mwanasiasa huyo kwa kueleza baadhi ya mambo ambayo yamefanywa na serikali hiyo inayoongozwa na chama cha CCM.
VIDEO:
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini: