Samatta Afanyiwa Upasuaji wa Goti la Mguu wa Kulia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Samatta Kafanyiwa Upasuaji wa Goti la Mguu wa Kulia
Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania anayecheza soka la kulipwa katika club ya KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta siku ya Jumamosi ya November 4 2017 katika uwanja wao wa Luminus Arena alikuwa uwanjani kuitumikia Genk lakini kwa bahati mbaya hakumaliza game.

Samatta aliichezea KRC Genk katika mchezo wa Ligi Kuu Ubelgiji dhidi ya Lokeren mchezo ambao ulimalizika kwa sare tasa (0-0) lakini nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta ambaye alikuwa akiongoza safu ya ushambuliaji ya Genk alishindwa kumaliza dakika 90 na kuishia kucheza kwa dakika 40.

Uchunguzi ulifanywa na jopo la madaktari wa Genk na kueleza kuwa Samatta atahitaji upasuaji wa goti lake la kulia baada ya kuumia goti hilo na atakuwa nje ya uwanja hadi mwanzoni mwa kipindi cha majira ya baridi, good news ni kuwa Samatta leo amethibitisha kuwa upasuaji wake umeenda salama.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad