Saudi Arabia yawasweka Ndani Bilionea Maarufu, Watoto 10 wa Kifalme na Mawaziri Wastaafu Kwa Tuhuma za Rushwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Saudi Arabia Jumamosi imetangaza kuwakamata bilionea na muwekezaji maarufu Mwanamfalme Awaleed bin Talal pamoja na wanawafalme wengine wasiopungua 10 mawaziri wanne na makumi ya mawaziri wastaafu kwa tuhuma za rushwa

Kukamatwa kwa Mwanamfalme Alwaleed kumetikisa Saudi Arabia pamoja na vituo vya uwekezaji duniani

Anamiliki kampuni za za uwekezaji nchini humo na ni mmoja wa watu matajiri zaidi duniani akiwa anamiliki au ameshawahi kumiliki hisa nyingi katika mashirika ya habari, Citigroup, Twitter pamoja na makampuni mengine makubwa. Mwanamfalme huyo pia anamiliki mtandao wa televisheni unaotazamwa kwa eneo kubwa la Uarabuni

Kampeni hiyo ya kukamatakamata inaonekana kama njia ya kujiimarishia mamlaka ya mfalme mtarajiwa Mohammed bin Salman, mtoto wa Mfalme Salman

Akiwa na umri wa miaka 32 tu tayari mtoto huyo ana sauti kubwa kwenye jeshi la Saudi sera za kiuchumi, kijamii na za nje jambo linaloleta malalamiko katika familia ya kifalme kuwa amaejilimbikizia nguvu kubwa akiwa katika umri mdogo

Vituo vya ndege binafsi vilifungwa kwa ajili ya kuzuia wanawafalme wengine wasitoroke kabla ya kukamatwa
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad