AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Mimi akija msanii hata kama hajui kuimba mimi nitamuandikia tu,” amesema. “Kwasababu ninachoamini nyimbo nitakayomuandikia Maua ni tofauti na nitakayomuandikia Gigy Money na nyimbo nitakayomuandikia Vanessa ni tofauti na nitakayomuandikia Shilole. S najua uwezo wa kila msanii,” amesisisitiza.
Barnaba kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Nampaga.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK