Trump na Xi Waanza Mazungumzo Baada ya Makaribisho ya Kifahari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Trump na Xi Waanza Mazungumzo Baada ya Makaribisho ya Kifahari
Rais wa Marekani Donald Trump ameanza mazungumzo na kiongozi wa China Xi Jinping mjini Beijing kufuatia makaribisho ya kkifahari katika mjihuo wa taifa hilo.
Bwana Trump anatarajiwa kuzungumzia kuhusu vile China inaweza kukabiliana na mipango ya kinyuklia ya Korea Kaskzini swala amblo litatawala ziara yake ya rasi ya Korea.
Marekani inaitaka China ,ambaye ni mshirika mkuu wa Pyongyang kuishinikiza zaidi lakini Beijing imesema kuwa imefanya ya kutosha.
Viongozi hao wa mataifa yenye uwezo mkubwa duniani pia wanatarajiwa kujadiliana kuhusu mapungufu yao ya kibiashara .

Mapema katika zaira hiyo ya mataifa matano, bwana Trump aliitaka Korea Kaskazini kuingia mkataba ili kumaliza mipango yake ya utengenezaji wa silaha za kinyuklia, huku pia akiionya dhidi ya uchokozi zaidi dhidi ya Marekani na dunia nzima , akisema ''musitujaribu''.
Pia ameitaka China kufutilia mbali ushirikiano wao na Pyongyang na kusisitiza wito wa Beijing kulishinikiza taifa hilo.
China imesema kuwa inafanya kila iwezalo na kusisitiza kuwa inatekeleza vikwa vya Umoja wa matiafa kwa ukamilifu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad