Vanessa Mdee Afunguka Kuhusu Kurudiana na Jux

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Vanessa Mdee Afunguka Kuhusu Kurudiana na Jux
Baada ya taarifa kuwa nyingi zikidai Vanessa Mdee na Jux kurudiana, hatimaye Vanessa amejibu ukweli wa suala hilo.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma ‘Bounce’ amekiambia kipindi cha The Playlist, Times Fm kuwa hawajarudiana bali kilichopo sasa ni urafiki tu.

“Kitu ambacho nyie hamjui Jux ni mshikaji wangu ni mtu ambaye tunapatana na kufanya kazi pamoja hata vitu vingi ambavyo ni nje ya sekta ya muziki Jux anasapoti, hatuwezi kuanza kugombana na sasa hivi, tunakuwa tunaharibu biashara” amesema.

Vanessa na Jux walikuwa wapenzi na kipindi cha mahusiano yao waliweza kutoa wimbo wa pamoja uitwao Juu pamoja na kushirikishwa katika ngoma ya Nikki wa Pili ‘Safari’.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad