“Wapiga Penati Wanaangalia Chini Kama Kondoo, Enzi zangu Bwana…”-Mwakyembe Atoa Somo Upigaji Penati

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa somo kwa wanasoka wa Tanzania kuhusu namna ya upigaji wa penati baada ya kutoridhishwa na namna ya baadhi ya wachezaji wanaopiga matuta nchini.

Waziri Mwakyembe amesema enzi zake alikuwa anawatungua magolikipa kwa mikwaju ya matuta tofauti na wapigaji wa siku hizi ambao huangalia chini mithili ya kondoo anaetaka kupigana.

“Upigaji penati nchi hii nafikiri nahitaji kukaa na makocha, sisi zamani tulikuwa tunafundishwa. Pale alikuwa hakosi penati, lakini vijana wa sikuhizi pamoja na ufundi mkubwa walionao, wanapiga penati wameangalia chini. Inashangaza mtu anaangaliaje chini? Wanabahatisha.”

“Mimi sipigi penati naangalia chini, najua toka niliposimama hadi kwenye mpira ni hatua sita, namwangalia golikipa movements zake, mguu wangu unaponyanyuka akianza kwenda kulia, mimi napiga kushoto, ndio upigaji wa penati. sasa mtu anaangalia chini utafikiri kondoo anakwenda kupigana.”

“Mimi ni mchezaji wa soka wa muda mrefu hata hao unaowasikia Tukuyu Stars sisi ndio tulianzisha huko miaka ya nyuma imeenda polepole tukiwa vijana wadogo tunacheza mpira, nilikuwa napiga namba tisa (9) vizuri sana.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad