AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa polisi kituo cha Isiolo Charles Ontita amesema Watanzania hao walikamatwa na maaskari katika bara bara ya Isiolo – Moyale karibu na njia panda inayoelekea Garba, na baada ya kuwapekua ndipo walibaini walikuwa Watanzania na hawakuwa na vibali vya kusafiria.
“Maaskari waliokuwa doria walisimamisha basi na kuanza kukagua, ndipo walipowakuta wageni wawili ambao hawakuwa na vibali, waliwaambia askari kuwa walikuwa wanaenda Moyale kufanya kazi ambayo wameitiwa, na baada ya kupekua simu zao walikuta baadhi ya namba za Somalia ambazo walikuwa wakiwasiliana nazo, na kusema ndio watu waliowaitia kazi”, amesema Kamanda Ontita.
Watanzania hao wametajwa kuwa ni Juma Abbas Zuberi mwenye miaka 28 na Ali Juma Kaondo wa miaka 17, wamepelekwa katika kituo cha polisi cha Isiolo, huku wakiendelea kuchunguzwa na Akskari hao wa kupambana na ugaidi kutoka Nairobi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK