Wema Sepetu Afiwa Ashindwa Kutinga Mahakamani Kesi Yake Yaahirishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema Sepetu Ashindwa Kutinga Mahakamani Kesi  Yake Yaahirishwa
Kesi ya kutumia madawa ya kulevya inayomkabili Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu imeahirishwa leo katika Mahakama ya Mkazi Kisutu hadi Desemba 14 mwaka huu.

Akieleza sababu za kuahirishwa kwa kesi hiyo Wakili anayemsimamia Wema Sepetu, Peter Kibatala amesema mteja wake amefiwa hivyo asingeliweza kufika Mahakamani leo.

Wema Sepetu anakabiliwa na kesi ya kutumia madawa ya kulevya aina ya Bangi na tayari pande zote mbili zimesha wasilishaushahidi mahakamani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad