AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 leo, Katibu Itikadi na Uenezi wa Chama hicho, Ndugu.Ado Shaibu amesema kuwa ingawa kila Chama kina Itikadi, sera na programu zake, yapo mambo ambayo Chama cha upinzani hakiwezi kufanya peke yake.
“Kamati Kuu ya Chama chetu iliazimia kuwa Uongozi wa juu wa Chama uanze mazungumzo na viongozi wengine wa Vyama vya upinzani ili kuunganisha nguvu kwenye mapambano ya demokrasia. Ingawa kila Chama kina Itikadi, sera na programu zake, yapo mambo ambayo Chama cha upinzani hakiwezi kufanya peke yake. Moja ya mambo hayo ni mapambano ya kidemokrasia kwa hiyo, Zitto amekwishafanya mazungumzo na Mbowe na Rungwe na atafanya mazungumzo na viongozi wa Vyama vingine,” amesema Ado.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jamani Jama... Dogo kawachwa peke yako... Hana hata wa kumfariji.
ReplyDeleteSasa time pass pia hana anaanza kuwachelewesha wenzake makazini kwao.
Mwenye Bajaji anamdai za Usafiri.
Mwisho atajifungia ndani peke yake.
Mie nakushauli badala ya kujipotezea na kuwapotezea Muda watu.
Cheza na Dogo mwenzako nyumbani na umsaidie mama kikapu cha sokoniTHE WEAKEST LINK OF UPINZANI KAKA
PEKU-PEKU KAZI UNAYO.............maskini watu wamaana akina Msando, Mgwira, Kitila Mkumbo nk wamemkimbia, hana company ya maana tena....duh si ubaki na mkeo nyumbani mliwazane jamani......hadi HURUMA!
ReplyDeletePwagu wangu.... Ya huko sauzi na kina Zuma yalikwishaje?
ReplyDeleteMie nakuoneaga Huluma kweli Dogo... Mnake hata sijui mwelekeo wako ni wapi na kazi yako ni NINI.
Kaka Zitto wavuvi waliomba Balafu ( cold room) Yamefikia wapi utatuzi wa wana Kigoma?
ReplyDeleteNHC ya kule Kigamboni yanakuhusu...!!! Magu kalibu ataliamsha Dude. na wewe ndani!
Cha magumashi hakiliki Magu anapitia Dili zote shauli yako. itabidi uludishe halaka.