AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Choky ambaye ni Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, amesema kwa sasa hali ni mbaya katika bendi karibu zote.
“Ukitaka kujua kuwa vyuma vimekaza, wewe angalia shoo nyingi hazina mashabiki kama zamani. Sisi kama Twanga Pepeta tunaendelea kupambana na hali yetu hadi kieleweke maana lazima maisha yaendelee na tuna imani mambo yatabadilika,” alisema Choky.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK