AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo amesema mipango yake kwa Vanessa ameisitisha kwanza kwa sababu anahitaji kujikita zaidi katika muziki wake.
“Sasa hivi sifirii hicho kitu lakini watu wanasema unaweza ukafa na dream, kwa hiyo kwangu mimi kumpenda mtu siyo dhambi. Wazo lipo lakini sasa hivi nime-keep busy kwenye muziki, Bright anatakiwa akue, afanye kolabo za kimataifa” amesema.
“Tushaonana na tunapiga story kawaida, hatujawahi kuzungumzia mapenzi tunaongea ishu za kazi kwanza tu” Bright ameiambia Bongo5.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK