AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini kiungo wa zamani wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameibuka na kusema anashukuru amemuona CR7 akicheza soka na amemuona Lioneil Messi pia lakini akakiri Messi ni hatari kuliko Cristiano.
Xavi anasema katika soka hakujawahi kutokea mchezaji kama Lioneil Messi na Cristiano Ronaldo kama anaona yeye ni bora baasi aamini hivyo lakini watu wanaotazama soka lao wanaona Messi ni zaidi.
Pamoja na uwezo wake wa kutengeneza nafasi awapo uwanjani lakini Xavi anasema Messi ni zaidi kwani huwa uwanjani anafanya vitu ambavyo unaweza kujiuliza kile kakifanyaje na huwa muda wote analenga kuibeba timu.
Jumamosi hii wawili hao wataoneshana umwamba huku Messi akiwa amefunga mabao 18 katika michezo 24 msimu huu na Cristiano Ronaldo akiwa amefunga mabao 16 katika michezo 21 msimu huu.
Barcelona wanaongoza ligi wakiwa na alama 42 kileleni huku wapinzani wao Real Madrid wako nafasi ya nne wakiwa na alama 31 ikiwa ni alama 11 nyuma ya Real Madrid na El Classico inaweza kushuhudia pengo la alama kuongezeka ama kupungua.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK