Haider Gulamali Afikishwa Mahakamani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Haider Gulamali Afikishwa Mahakamani
Haider Gulamali (46), aliyewania kuteuliwa kugombea ubunge Singida Kaskazini kwa tiketi ya CCM amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Singida.

Gulamali aliyesomewa mashtaka mbele ya Hakimu Flora Ndale jana Jumatano Desemba 13,2017 anasubiri uamuzi wa mahakama kuhusu dhamana.

Baada ya kusomewa mashtaka jana alipelekwa rumande kutokana na mvutano wa kisheria kati ya mwanasheria wa Takukuru, Edson Mapalala na wakili wa mshitakiwa, Godfrey Wasonga kuhusu dhamana.

Gulamali aliyeshinda kura ya maoni kabla ya CCM kusitisha mchakato amezuiwa kugombea nafasi hiyo akituhumiwa kwa rushwa.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alitumia mamlaka yake kuitisha upya mchakato wa kumpata mgombea wa chama hicho na uchaguzi unafanyika leo Alhamisi Desemba 14,2017 na utafunguliwa na Kinana.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad