Hatimaye Album ya Diamond 'A Boy From Tandale' Yawekwa Hadharani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Hakuna ubishi kwa mwaka huu mashabiki wengi wa muziki walikuwa wanasubiria kwa hamu kuipokea album ya ‘A Boy From Tandale’ ya msanii maarufu zaidi Tanzania, Diamond Platnumz ukweli ni kwamba album hiyo haitatoka mwaka huu tena badala yake itatoka mwakani.

Album ya ‘A Boy From Tandale’ itatoka tarehe 12 Januari 2018, na itakuwa na nyimbo 18, ambapo zaidi ya wasanii 13 kutoka Tanzania, Nigeria na Marekani watasikika kwenye album hiyo.



Wasanii hao ni Vanessa Mdee, P-Square, Mr Flavour, Young Killer, Tiwa Savage, Rayvanny, Davido, Jah Prayzer wengine ni Miri Ben-Ari,  Omarion, Rick Ross, Ne-Yo na Morgan Heritage wote kutoka Marekani.

Kupitia mtandao wa iTunes unaweza ku-order sasa hivi kabla haijatoka album hiyo kwa dola 6.99 sawa na tsh 15,666/=. Kumbuka bei hiyo ni kwa wale watakaonunua album hiyo kabla ya kutoka tar 12 Januari, 2017.

Tazama orodha ya nyimbo hizo hapa chini;


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad