Kasimu Majariwa Aitaka AU Kufanya Uchunguzi wa Kina Vifo vya Wanajeshi 14 JWTZ Waliouawa DRC

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kasimu Majariwa Aitaka AU Kufanya Uchunguzi wa Kina Vifo vya Wanajeshi 14 JWTZ Waliouawa DRC
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania inautaka Umoja wa Mataifa kufanya uchunguzi wa kina, ulio wazi na wa ukweli juu ya vifo vya Wanajeshi 14 wa Jeshi la Wananchi waliouawa huko Jamhuri ya Congo December 8, 2017.

Amesema hayo leo December 14, 2017 wakati akiongoza mamia ya wanajeshi, viongozi wa serikali, na familia za Mashujaa hao na kueleza kuwa serikali inatumaini Umoja wa Mataifa utafanya hivyo haraka ili haki iweze kutendeka.


Ametoa pole kwa Jeshi, familia za wafiwa na Watanzania kwa ujumla na kuwaasa wanajeshi kuwa yaliyotokea DRC yasiwakatishe tamaa katika kutimiza wajibu wao huko Congo na kwingineko ambako wanatoa msaada huo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad