AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Koletha alisema hayo kutokana na ndoa nyingi za mastaa kutodumu ambapo alisema ingawa ana imani ndoa yake itadumu, lakini ni Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kulijua hilo kwa ufasaha.
“Kikubwa ni kumshirikisha Mungu tu kwa kweli na mimi mwenyewe kuchezea karata yangu vizuri, siwezi kusema ndoa yangu itadumu milele, ni kwa neema tu maana kuna mengine hayavumiliki,” alisema Koletha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK