Koletha Afunguka Kuhusu Maisha Ya Ndoa " Kudumu Kwenye Ndoa ni Mungu Tu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MKONGWE wa filamu za Kibongo, Koletha Raymond amefunguka kuwa suala la kudumu kwenye ndoa ni la Mungu tu kwani kwa akili zake hawezi kujihakikishia kwa asilimia mia moja.

Koletha alisema hayo kutokana na ndoa nyingi za mastaa kutodumu ambapo alisema ingawa ana imani ndoa yake itadumu, lakini ni Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kulijua hilo kwa ufasaha.

“Kikubwa ni kumshirikisha Mungu tu kwa kweli na mimi mwenyewe kuchezea karata yangu vizuri, siwezi kusema ndoa yangu itadumu milele, ni kwa neema tu maana kuna mengine hayavumiliki,” alisema Koletha.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad