AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza mara baada ya kuwasili nyumbani kwake Kilimani mjini Dodoma, Samia ameomba wananchi wa mkoa huo kuonyesha ushirikiano katika kufanya kazi ili kulisukuma gurudumu la maendeleo
"Nilikuwa hapa kwa muda mrefu kidogo lakini nilipangiwa kuhamia rasmi leo Desemba 15 na nimefurahi kwamba nitafanya kazi mahala pangu pa kazi pa kudumu," amesema Samia.
Amesema kauli mbiu yake kwa wakazi wa Dodoma ni kuufanya mji huo kuwa wa kijani hivyo Desemba 21 ataendesha mpango wa kupanda miti katika wilaya zote.
"Kwa kuwa nasimamia pia masuala ya mazingira nitaendesha zoezi hilo ili kurudisha hali ya Dodoma," ameongeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wana Dodoma tunakukaribisha Mama Samia Suluhu.
ReplyDeleteMioyo yetu na Milango yetu kama Kawaida Yetu, Iko Wazi juu yenu wote.
Na kuhusu uchapa Kazi hilo ni letu na tutaongeza juhudi zaidi.
Uaminifu na Upendo Hili ni Hulka yetu na Jadi Yetu.
Ushirikiano wetu katika ujenzi wa Taifa letu Hicho ni Kipauble chetu wakati Wote.
Karibuni sana Dodoma.