AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam wakati wa maadhimisho ya siku ya Ukimwi ambapo pamoja na hilo amesema wapo baadhi ya wanaume ambao wanajua wameshaambukizwa bado wanaendelea kuwaambukiza watoto hao.
“Wanaume msipende kuwaona wakubwa wenzenu wamechuja hawana ladha ile ambayo mngependa kuipata, kwahiyo mna hamia kwa watoto wadogo ndugu zangu huu sio mwendo mzuri hawa ni watoto wetu, hili ni taifa la kesho tukiliteketeza leo, na wengine wanajua wameshaambukizwa na wakubwa wanaushifti kwa watoto wadogo ambao ambao hawawajui, ndugu zangu huu ni uuwaji wa makusudi na Mwenyezi Mungu hatawasamehe katika hili,” amesema Mama Samia.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK