Manara Amlilia Mtoto wa 'Mo' Amtumia Salamu za Pole "Tumeumia Sote kwa Msiba Pole sana Kiungo Wetu"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Manara Amlilia Mtoto wa 'Mo' Amtumia Salamu za Pole "Tumeumia Sote kwa Msiba Pole sana Kiungo Wetu"
Kiungo wa Simba, Mohamed Ibrahim ‘MO’ amefiwa na mtoto wake mchanga jana Jumanne katika Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara aliandika kwenye ukurasa wake wa Istagram akimtakia pole kwa niaba ya uongozi wa klabu hiyo.

Alisema msiba huo wa mtoto mchanga umewaumiza watu wengi, hivyo akimsihi kuwa na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu.

Manara Aliandika hivi kwenye ukurasa wake wa instagram "pole sana kiungo wetu  mnyumbufu @mohammedibrahim04 'Mo' kwa kufiwa na mwanao mpendwa tumeumia sote kwa msiba huu wa mtoto wetu  mdogo kabisa ... kwa niaba ya @Simbasctanzania pokea salamu zetu za pole  kwa msiba huu mzito ww na mama wa mtoto  Inna lilah wainna ilahi Raajiun

Pia mchezaji mwenzake, Deus Kaseke alimtakia pole kwenye mtandao wa huo

TAARIFA: MSIBA WA MTOTO WA MOHAMMED IBRAHIM UPO MBAGALA KIWANGWA

Msiba wa Mtoto wa Mohammed Ibrahim upo nyumbani kwa familia ya Mohammed Ibrahim Mbagara Kiwangwa jijini Dar es Salaam.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad