Rihana Akabidhiwa Mtaa Wenye Jina Lake Katika Kisiwa cha Barbados

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rihana Akabidhiwa  Mtaa Wenye Jina Lake Katika Kisiwa cha Barbados
Kisiwa cha Barbados, kilichopo nchini Marekani kimemtunusu mwanamuziki Rihanna kwa kumpa mtaa yenye jina lake.

Uongozi wa eneo hilo umetoa jina la mtaa huo kwa msanii huyo anayetoka katika kisiwa hicho siku ya uhuru wa kisiwa hicho.

Baada ya kupewa jina la mtaa, Riri ameushukuru uongozi wa kisiwa hicho kwa kumpatia heshima hiyo.

“My home. My whole life was shaped on this very road. I was just a little island girl riding bikes, running around barefoot, and flying kits in the cemetery, but I had BIG dreams. Dreams that were born and realized right here,” amesema Riri

Akaongeza “Thank you to my family, my country, and the people of Westbury New Road,” she continued. “You will forever be a part of who I am, and for that, I am honored to have this place named after me.”

Kwa miezi miwili mfululizo Rihanna amekuwa akipata dili za kutokea katika majarida makubwa kama Vogue Arabia, Vogue Paris,na Dazed.





----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad