Siyumbishi na Ndoa Wanazofunga Waolewe tu Wakati Wangu Bado- Odama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siyumbishi na Ndoa Wanazofunga Wakati Wangu Bado- Odama
MUIGIZAJI mwenye kiwango kizuri kwenye tasinia ya filamu Bongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa ayumbishwi na ndoa wanazofunga baadhi ya mastaa hivi karibuni kwani wakati wake ukifika na
yake itafanyika.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Odama alisema kuwa hakuna kitu kizuri duniani kama wakati wa Mungu ambao ndio sahihi, hivyo hawezi kuona mtu amefanya kitu na yeye akatamani
kwasababu mwingine amefanya.

“Mimi naamini kabisa kila jambo lina wakati wake na wakati mzuri ni Mungu aliokupangia jambo husika, sio tu kukurupuka kwasababu mwingine kafanya,” alisema Odama
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad