AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Risasi Jumamosi Sandra alisema kuwa kutokana na stress za maisha na ugumu wa kazi ameamua kuhama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amekuwa akirudi mara mojamoja kwa ajili ya kusalimia.
“Niliamua kwenda huko kufanya kazi baada ya kufanya usaili wa kucheza tamthiliya na kufanikiwa kupita ambapo nashukuru Mungu wamenipokea vizuri na nimecheza kama mhusika mkuu bila kujali kuwa mimi si Mkenya naona maisha yanaenda tofauti na nilivyokuwa Bongo.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK