Stress na Maisha Magumu Yamuhamisha Nchi Sandra

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Stress na Maisha Magumu Yamuhamisha Sandra Nchi
Staa wa filamu za Kibongo tangu kitambo, Salma Salmin ‘Sandra’ amehama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amedai kuwa stress za maisha ndizo chanzo.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi Sandra alisema kuwa kutokana na stress za maisha na ugumu wa kazi ameamua kuhama nchi na kuhamia nchini Kenya ambapo amekuwa akirudi mara mojamoja kwa ajili ya kusalimia.

“Niliamua kwenda huko kufanya kazi baada ya kufanya usaili wa kucheza tamthiliya na kufanikiwa kupita ambapo nashukuru Mungu wamenipokea vizuri na nimecheza kama mhusika mkuu bila kujali kuwa mimi si Mkenya naona maisha yanaenda tofauti na nilivyokuwa Bongo.”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad