Tshishimbi Aanza Kufanya Mazoezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Tshishimbi Aanza Kufanya Mazoezi
KIUNGO makabaji wa Yanga raia wa Congo Pap Tshishimbi Kabamba, kwa mara nyingine leo ameamsha molari ya wachezaji na mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuanza moja kwa moja mazoezi ya pamoja na wenzake yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Tshishimbi ambaye amekuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki mbili akiuguza majeraha ya kifundo cha mguu wake aliyoyapata kwenye moja ya mazoezi yao  siku chache kabla ya Ligi Kuu Bara, kusimama kupisha michezo ya kimataifa.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad