Ulimwengu Baada ya Kukaa Nje ya Uwanja kwa Muda Mrefu Sasa Hapiga Hatua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ulimwengu Baada ya Kukaa Nje ya Uwanja kwa Muda Mrefu Sasa Hapiga Hatua
Baada ya kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Ulimwengu amezidi kupiga hatua za kurejea dimbani kutokana na kuendelea vizuri na mazoezi ya kujiweka sawa.

Ulimwengu anayekipiga katika klabu ya AFC Eskilstuna ya Sweden yuko katika mazoezi makali ya Gym, kuchezea mpira peke yake na mkufunzi pamoja na kukimbia ufukweni.
Mshambuliaji huyo alifanyiwa upasuaji wa goti katika hospitali ya Taasisi ya Sayansi ya Michezo mjini Cape Town, Afrika Kusini mapema mwezi Julai baada ya kusumbuliwa kwa mrefu na majeraha ya goti.

Ulimwengu hajafanikiwa kuitumikia kikamilifu timu yake mpya ya AFC Eskilstuna  tangu alipojiungana nayo mwezi Januari mwaka huu akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad