AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ulimwengu anayekipiga katika klabu ya AFC Eskilstuna ya Sweden yuko katika mazoezi makali ya Gym, kuchezea mpira peke yake na mkufunzi pamoja na kukimbia ufukweni.
Mshambuliaji huyo alifanyiwa upasuaji wa goti katika hospitali ya Taasisi ya Sayansi ya Michezo mjini Cape Town, Afrika Kusini mapema mwezi Julai baada ya kusumbuliwa kwa mrefu na majeraha ya goti.
Ulimwengu hajafanikiwa kuitumikia kikamilifu timu yake mpya ya AFC Eskilstuna tangu alipojiungana nayo mwezi Januari mwaka huu akitokea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK