AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utafiti wa siku za hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi wa nchini China umeonesha kuwa kunywa glasi moja ya mvinyo yaani ‘wine’ kila siku hupunguza hatari ya kifo cha mapema kwa mara tano.
Wanasayansi hawa pia wameeleza kuwa kukiuka unywaji huu unaoshauriwa kiafya kwa kunywa zaidi hatari ya kifo inaongezeka kwa asilimia 11 ikiwa ni pamoja na kuongeza hatari ya kufa kwa magonjwa ya saratani kwa asilimia 27.
Inaelezwa kwa matunda ya zabibu yanayotumika kutengeneza wine huwa na virutubisho vijulikanavyo kama ‘resveratrol’ ambavyo huongeza na kuboresha afya ya moyo, kusaidia kutoa kinga ya magonjwa ya saratani na kulinda macho dhidi ya uoni hafifu
Kwa mujibu wa Mwandishi Mkuu wa utafiti huo Professor Bo Xi, japokuwa unywaji wa kiasi husaidia kupunguza magonjwa yanayohusiana na moyo unywaji wa kupitilza huweza kusababisha kifo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK