Yametimia....... Htimaye Babu Seya na Mwanaye Kusheherekea X- Mass Wakiwa Uraiani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yametimia....... Htimaye Babu Seya na Mwanaye Kusheherekea Uhuru wa Tanganyika Wakiwa Uraiani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewasamehe familia ya mwanamuziki Pappi Nguza Viking ambao walikuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha.
 
Rais Magufuli ametangaza msamaha huo leo mjini Dodoma kwenye sherehe za Uhuru wa miaka 56 ya Tanganyika.
“Nimeamua kusamehe wafungwa 8157, ambapo baada ya msamaha huu, 1828 watatoka leo, 6329 wamepunguziwa muda wa kukaa gerezani”, amesema Rais Magufuli.
Baada ya kutangaza hivyo rais Magufuli akaongeza kuwa katika msahama huu nimeamua kuisamehe familia ya Nguza Viking na kuanzia sasa wawe huru kulingana na taratibu za kimagereza.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Magu Baba...!!!!!
    Mungu akuwe na akulinde.
    Mlio achiwa tunakuombeni chonde chonde Msimwangushe Raisi wetu na Imani yakw Juu yenu.
    Rudini Uraiani na muwe Wazalendo na Raia wema. Nchi yetu ni Salama na tunahitaji Amani yenu Uraiani kwetu.
    Karibuni sana muungane na Familia zenu na kuwaondolea dhiki za kowakosa kwa muda wote mliokuwa hamoo nao.
    Iqe ni Furaha na Amani kwenu.
    karibuni na tujenge Taifa kwa pamoja.
    Na tufanye kazi kwa bidii kweli kwelinchi inakuhitajini katika uzalishaji na kulitumikia Taifa. kumbukeni hii ni awamu ya
    HAPA KAZI TU NA SI VINGINEVYO.
    ASANTE BABA JPJM. Watakuelewa tu.

    ReplyDelete
  2. MDAU SIO x-mass ni CHRISTMAS NA WADAU WOTE WA HABARI

    ReplyDelete

Top Post Ad