AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa kutoka klabu ya Yanga imeeleza kikosi hicho kitarejea mazoezini kwenye uwanja wa Uhuru jijin Dar es salaam, Jumatatu ya Desemba 4 asubuhi baada ya mapumziko ya wiki moja kufuatia ligi kusimama kupisha michuano ya CECAFA Challenge.
Yanga tayari imeshafanya usajili wa nyota wawili kwenye kipindi hiki cha dirisha dogo lililofunguliwa tangu Novemba 15. Wachezaji hao ni mlinzi Fiston 'Festo' Kayembe Kanku kutoka DR Congo pamoja a Yohana Mkomola ambaye alifanya vizuri na Serengeti Boys.
Yanga inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 20 baada ya raundi 11, nyuma ya Simba SC na Azam FC zenye alama 22 kila mmoja zikitofautiana idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK