ACT Wazalendo Wapanga Kukutana na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Upinzani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

ACT Wazalendo Wapanga Kukutana na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Upinzani
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Dorothy Semu na Katibu Mkuu wa Chama Cha NCCR Mageuzi Juju Danda hivi karibuni wamekutana na kufanya mazungumzo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo.

Kamati hii ilimtaka Katibu Mkuu huyo Semu kukutana na Makatibu Wakuu wa vyama vyote vya upinzani ili kujadiliana na kupanga namna bora ya kupigania kwa pamoja misingi ya kidemokrasia.

Katibu Mkuu Semu pia amekwishakutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha Democratic Party (DP) Joachim Mwakitiga kama maagizo yalivyotolewa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad