AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa zilizotolewa na Nation News zimesema, “kijana huyo anafahamika kama Shawayne Dashawn Williams ana umri wa miaka 23, amefunguliwa mashtaka ya mauaji hayo ya Alleyne ambayo yametokea wiki iliyopita katika sikukuu ya Christmas.”
Shawayne amefikishwa Mahakamani kwa mara ya kwanza na kesi hiyo imeahirishwa na mtuhumiwa amerudishwa gerezani huku hukumu ya kesi hiyo ikipangwa kutolewa January 31, 2018.
Kabla ya tukio marehemu Alleyne alikuwa akitembea karibu na nyumba yake majira ya saa 1 usiku kabla ya kufatwa na mtu asiyefahamika na kisha kupigwa risasi. Hata hivyo Alleyne alikimbizwa hospitali ya Queen Elizabeth iliyopo Bridgetown lakini alifariki dunia.
Wakati huo huo marehemu Tavon Alleyne alikuwa na Rihanna saa moja kabla ya kufariki dunia wakisherehekea pamoja sikukuu ya Christmas.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK