Basata Yaafunguka Kuhusu Mavazi ya Kubana na Nguo Fupi kwa Wanawake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Basata Yaafunguka Kuhusu Mavazi ya Kubana na Nguo Fupi kwa Wanawake
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania Godfrey Mngereza, amesema wanawake wanaovaa nguo fupi mbele za watu hawako sahihi, kwani licha ya kuwa wana uhuru wa kufanya hivyo, lakini wanavuka mipaka ya uhuru huo.


Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Mngereza amesema kwamba kuvaa nguo fupi maeneo ya watu wengi na mchana kweupe ni kuvunja maadili ya Mtanzania, hivyo wasilalamike watu wanapowafanyia vitendo viovu.

Akiendelea kuzungumzia suala hilo, Mngereza amesema licha ya watu hao kufanya makosa ingawa si ya kisheria, lakini watu wanaowachukulia hatua ya kuwachania nguo zao na kuwadhalilisha wanavunja sheria, kwani hakuna sehemu kwenye sheria ya nchi inayowaruhusu kufanya hivyo.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad