AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa muziki Bongo, Alikiba ameitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti National Park.
Alikiba ame-share picha kadhaa katika mtandao wake wa Instagram zikimuonyesha akiwa Serengeti, hata hivyo haijafahamika iwapo matembelezi hayo ni kwa ajili ya kazi au matunuzi pekee.
Si mara ya kwanza kwa Alikiba kufanya jambo kama hilo, mwaka 2015 yeye pamoja na team yake ya RockStar4000 walitembelea hifadhi ya Tarangire, Pia mwaka 2016 alikuwepo Serengeti kwa ajili ya kusherekea birthday yake.
Alikiba ame-share picha kadhaa katika mtandao wake wa Instagram zikimuonyesha akiwa Serengeti, hata hivyo haijafahamika iwapo matembelezi hayo ni kwa ajili ya kazi au matunuzi pekee.
Si mara ya kwanza kwa Alikiba kufanya jambo kama hilo, mwaka 2015 yeye pamoja na team yake ya RockStar4000 walitembelea hifadhi ya Tarangire, Pia mwaka 2016 alikuwepo Serengeti kwa ajili ya kusherekea birthday yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK