Bata Hili la Alikiba Katika Mbuga za Wanyama Serengeti Balaa Tupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bata Hili la Alikiba Katika Mbuga za Wanyama Serengeti Balaa Tupu
Msanii wa muziki Bongo, Alikiba ameitembelea mbuga ya wanyama ya Serengeti National Park.

Alikiba ame-share picha kadhaa katika mtandao wake wa Instagram zikimuonyesha akiwa Serengeti, hata hivyo haijafahamika iwapo matembelezi hayo ni kwa ajili ya kazi au matunuzi pekee.

Si mara ya kwanza kwa Alikiba kufanya jambo kama hilo, mwaka 2015 yeye pamoja na team yake ya RockStar4000 walitembelea hifadhi ya Tarangire, Pia mwaka 2016 alikuwepo Serengeti kwa ajili ya kusherekea birthday  yake.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad