AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mkuu wa Bavicha, Mwita Julius alisema wao kama Baraza wanaungana na kauli ya Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe ambaye alisema wao kama chama hawatambui kauli za Lowassa.
" Sisi kama chama tunashangaa katika wakati ambao Taifa halijui mustakabali wake wa kiuchumi, wabunge wa upinzani wanafukuzwa bungeni, wanasiasa wanashambuliwa kwa risasi Mjumbe wa kamati kuu unapataje ujasiri wa kuisifia Serikali?,
" Hatuna hofu yeyote maana zinasikika kuwa Lowassa anaweza kurudi CCM, hayo ni maneno tu na wala hatuna hofu yeyote sisi kama Chama tumewahi kupitia misukosuko mikubwa, na hata sasa tunaona namna ambavyo viongozi wetu wananunuliwa, sisi tupo imara sana na pia tuna uhakika hatoondoka," alisema Mwita.
Aliongeza kuwa suala la Lowassa kwenda Ikulu kuonana na Rais Magufuli wao hawana shida nayo ingawa wanashangazwa na kauli ambazo alizitoa baada ya kufanya mazungumzo hayo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
pumbavu bavicha hakuna cha maana hapo ulichosema
ReplyDelete