AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watumiaji nchini Uingereza , Barbados, India, Japan, Panama, Afrika Kusini, Hispania, na Qatar wamesema hawakuweza kuungana na programu hiyo kwa kutuma meseji au kupokea wala kuweka Status.
Programu hiyo maarufu ya ujumbe ilitoa tangazo mapema wiki hii na kuelezea kuwa inatazamia kuwa mahiri kwenye mfumo wa iOS na Android kitu ambacho watalaam wanasema kinaweza kuwa kimechangia usumbufu huo unaojitokeza sasa.
“Tunapotarajia miaka saba ijayo, tunataka kuzingatia jitihada zetu kwenye ambazo simu idadi kubwa ya watu hutumia,” kampuni hiyo imesema katika majarida mbalimbali.
Mapema kampuni ya Tech imetangaza kuwa kifaa chochote cha BlackBerry kinaendesha BlackBer
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK