Chuchu Hans Afunguka Sababu ya Kumtoboa Mtoto Wake Sikio

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chuchu Hans Afunguka Sababu ya Kumtoboa Mtoto Wake Sikio
MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans amefungukia madai ya kumtoboa sikio mtoto wao wa kiume Jaden mwenye umri wa mwaka mmoja akidai kuwa suala hilo limepokelewa ndivyo sivyo.

Akizungumza na gazeti hili, Chuchu alisema kuwa hakumtoboa kabisa sikio bali baba yake (muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’) ndiye aliyemvalisha kihereni cha kubandika na siyo kumtoboa moja kwa moja.

“Watu hawajatuelewa jamani hatuwezi kumtoboa sikio mtoto kwenye umri alionao tena wa kiume bali baba yake alimvalisha hereni ya kubandika tu, wasituzungumzie vibaya bwana,” alisema Chuchu.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. asimbandike kabisa kama atataka mambo hayo atafanya akiwa anajitambia kwa hiari yake alaaaaaaaaaaaaaa dunia ya sas imevaa sketi

    ReplyDelete

Top Post Ad