AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inaelezwa kuwa chupa hiyo ambayo ni ya thamani ya Dola za Marekani Milioni 1.3 sawa na Tsh Bilioni 3.1 imetengenezwa kwa dhahabu na fedha na kifuniko chake ni cha madini ya almasi.
Chupa hiyo iliibiwa baada ya kukopeshwa baa moja huko Copenhagen nchini humo ambayo ilikuwa imekusanya chupa za mvinyo kwa ajili ya maonyesho. Polisi wanaendelea na uchunguzi kubaini waliohusika.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK