Chupa ya Vodka Inayotajwa Kuwa ya Gharama Kubwa Zaidi Duniani Yaibiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chupa ya Vodka Inayotajwa Kuwa ya Gharama Kubwa Zaidi Duniani Yaibiwa
Chupa ya Vodka inayotajwa kuwa ya gharama kubwa zaidi duniani inayopatikana nchini Denmark imeripotiwa kuibiwa.

Inaelezwa kuwa chupa hiyo ambayo ni ya thamani ya Dola za Marekani Milioni 1.3 sawa na Tsh Bilioni 3.1 imetengenezwa kwa dhahabu na fedha na kifuniko chake ni cha madini ya almasi.

Chupa hiyo iliibiwa baada ya kukopeshwa baa moja huko Copenhagen nchini humo ambayo ilikuwa imekusanya chupa za mvinyo kwa ajili ya maonyesho. Polisi wanaendelea na uchunguzi kubaini waliohusika.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad