AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nahodha huyo wa zamani wa England amemzungumzia mchezaji huyo wakati wa uzinduzi wa klabu yake Miami huko nchini Marekani, “Mpaka sasa nashindwa kuamini kwa kile kilichotokea hakika,” amesema Beckham.
Beckham ameongeza “Wakati alipokuwa sehemu ya timu kubwa kama ya Arsenal na mara ghafla akaama kwa muda mchache tu na kuelekea kaskazini katika klabu kubwa ni ajabu kushuhudia hilo.”
“Sote tunamtakia mafanikio, mimi ni shabiki wa Manchester United hivyo ninafurahi kuona timu yangu imefanikiwa kumpata mchezaji mwenye uwezo na kipaji kama yeye,”
Mshambuliaji huyo raia Chile mwenye umri wa miaka 29 ametua United mwanzoni mwa juma lililopita huku akifanikiwa kulipwa paundi 600,000 kwa wiki mshahara paundi 350,000, haki ya matangazo paundi 100,000 na paundi 144,000 kama nyongeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK