AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 msanii huyo anayehit na ngoma kadhaa kama vile ‘Shindu’ na ‘Mr.Kiki’ amedai kuwa yeye hafahamu kama ameingiza hasara au faida alipokuwa Sabuka Music.
“Baada ya Mr. Kiki kuna kazi zinakuja nitandondosha mzigo baada ya mzigo, harafu kwanza sipo katika menejiment mpya nafanya kazi zangu mimi kama mimi” amesema msanii huyo baada ya kuulizwa kama yupo katika manejement mpya.
Harmo akaongeza kuwa ni mpiango ya kazi tu kufanya kazi mwenyewe kwani ni jambo la kawaida ku-move kutoka hapo kwenda sehemu nyingine.
“Mimi nikizungumzia sana hapo kuhusu kama kuna faida ama hakuna faida hapo mimi sijui kiufupi yani. Nisema imeingiza faida hapo ama sijaingiza faida yoyote kipindi ambapo nipo sabuka muziki” Amesisitiza msanii huyo baada ya kuulizwa kuwa kuna tetesi kuwa amaingizia hasara menejimenti yake ya Sabuka.
Kuhusu kuhusika katika sakata la kumfukuzisha msanii mwezake katika menejimenti hiyo Harmo amedai kuwa yeye hakuhusika kumfukuzisha Kiloriti ila alikuwa na mambo yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK